VIJANA WA MJI MDOGO MBALIZI MBEYA WILAYANI MBEYA VIJIJINI WAFANAYA USAFI WA KUZIBUA MIFEREJI NA KUTENGENEZA BARABARA
Hakika vijana wa Mbalizi tuwape pongezi kwa kazi nzuri wanayoifanya kwani ni vijana wachache sana wanaojitolea kufanya kazi hizo za usafi wa kujitolea |
Mweshimiwa diwani akikagua kazi inayoendelea ya kuzibua mifereji na kutengeneza barabara |
kazi inaendelea |
Mweshimiwa diwani hakuwa nyumba katika kuwasaidia vijana |
Kwenye kazi utani pia upo ili kazi iende vizuri dada na kaka wanataniana |
Safi sana vijana wa Mbalizi |
Mratibu wa Vijana wazalendo wa mji wa Mbalizi Gordon Kalulunga,akiwa na kiongozi mwenzake wakifurahia jinsi kazi inavyoendelea |
Hali halisi ya mifereji ya mbalizi ni hii sasa vijana ndiyo wanaizibua |
Baada ya kuzibuliwa kwa ujumla mbeya yetu tunawapongeza sana vijana wa mbalizi kwa umoja wenu tunaomba na vijana wengine muige mfano huo wa kujitolea kufanya usafi zoezi la usafi litaendelea kesho |