
Koffi
Olomide akimtambulisha Rachel wa THT kwamba ni mmoja ya wasanii wa
Tanzania waliemvutia kwenye show iliyofanyika CCM Kirumba Mwanza.

.

.

.

.

.

.

.

Vijana wa Koffi.

Koffi akiwasili.

H Baba.

Mussa Hussein kutoka CLOUDS FM/TV

Ben Kinyaiya Mussa Hussein kwa mbali pamoja na Suzzy Baltazary kutoka Clouds fm/Tv

Wa
kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Masoko SBL Ephraim Mafuru, Anitha Msangi
Maurice Njowoka na Patrick Kisaka wakiwa CCM-Kirumba. (Picha zote
zimepigwa na G SENGO wa gsengo.blogspot.com blog inayonifurahisha kwa
kuwa fasta kwenye matukio yote yanayotokea Mwanza)