Tuesday, November 13, 2012
Saturday, November 3, 2012
UBUNGO PLAZA HAPOTOSHI!
LEO NDIO LEO REDDS MISS TANZANIA 2012 NDANI YA UBUNGO PLAZA
CAREN ELIAS mshiriki 23
anatokea Mbeya anawakilisha Nyanda za Juu Kusini
BRIGITTE ALFRED ni
Mshiriki namba 26 akitokea Kitongoji cha Sinza na anawakilisha Kanda ya
Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Anaitwa VIRGINIA MOKIRI ni
mshiriki namba 1. Akitokea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na akiwakilisha Elimu ya
Juu.

Anakwenda kwa jina
la EUGENE FABIAN
Mbio za kulisaka taji la Miss Tanzania amezianzia Mkoani Mara na baade
kutwaa taji la Kanda ya Ziwa na anavalia namba 21 kambi ya
taifa.
BABYLOVE KALALA ni Mshiriki
na 9 akitokea mkoa wa Kagera, akiwakilisha Kanda ya Ziwa.
ANANDE RAPHAEL ni mshiriki
namba 11 akitokea Mkoa wa Kilimanjaro akiwakilisha Kanda ya
Kaskazini.
CATHERINE MASUMBIGANA ni mshiriki na 15 akitokea Kitongoji cha Chang'ombe anawakilisha kanda uya Temeke jijini Dar es Salaam.
DIANA HUSSEIN amepata namba
ya ushirtiki 20, akitokea kitongoji cha Dar Indian Ocean, akiiwakilisha Kanda ya
Kinondoni jijini Dar es Salaam.
FINA REVOCATUS anavaa namba
12 akitoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM, akiwakilisha Kanda ya Vyuo Vya Elimu
ya Juu.
BELINDA MBOGO ni mshiriki
na 29 akitoka mkoa wa Dodoma akiwaklilisha Kanda ya Kati
EDDA SYLVESTER amepata
namba 22, akitoka Kigamboni na anaiwakilisha Kanda ya Temeke jijini Dar es
Salaam.
ELIZABETH DIAMOND anavalia
namba 2 akitokea mkoa wa singida, akiwakilisha kanda ya Kati.
FATMA RAMADHANI nambari
yake 25 akitoka chuo cha Uandishi wa habari Arusha ASJ, anawakilisha Kanda ya
Elimu ya Juu.
FLAVIAN MAEDA anavalia
namba 10 akitokea kitongoji cha Kurasini mwakilishi wa kanda ya Temeke jijini
Dar es Salaam.
Kutoka Kahama- Shinyanga ni
HAPPINESS RWEYEMAMU ananamba 8 anawakilisha Kanda ya Ziwa.
Huyu ni HAPPYNESS DANIEL
namba yake ya ushiriki ni 19 anatokea jiji la Mwanza akiwakilisha Kanda ya
Ziwa.
IRINE VEDA anatokea Lindi
na kupata namba 16 akiuwakilisha Kanda ya Mashariki
JESCA HAULE ni mshiriki
namba 14, akitoka kitongoji cha Chang'ombe anawakilisha Kanda ya Temeke jijini
Dar es Salaam.
Anatoka Mji kasoro
Bahari-Morogoro ni JOYCE BALUHI akiwa ni mshiriki 13 anawakilisha Kanda ya
Mashariki.
KUDRA LUPATOni
mshiriki 24 akitokea kitongoji cha Dar Indian Ocean, akiiwakilisha Kanda ya
Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Huyu ni LIGHTNESS MICHAEL
anavalia 5, akitokea Dodoma akiwakilisha Kanda ya Kati.
Kutoka mkoa wa Manyara ni
LUCY STEPHANO mshiriki namba 4 akiwakilisha Kanda ya Kaskazini.
MAGDALENA ROY mshiriki
namba 6, kutoka Kitongoji cha Dar City Centre akiwakilisha Kanda ya
Ilala.
Anaitwa Mary Chizi akitokea
kitongoji cha Ukonga, anavalia namba 17, akiwakilisha Kanda ya Ilala jijini Dar
es Salaam.
Yeye ni MAGDALENA ROY
mshiriki nambari 18, kutyoka mkoa wa Iringa akiwakilisha Kanda ya Nyanda za Juu
Kusini.
Jinalake ni NOELA MICHAEL
yupo na namba 27, anashikilia taji la kitongoji cha Tabata na ni mwakilishi
tegemeo wa Kanda ya Ilala.
Rose Lucas ana namba 28
akitokea Mkoa wa Pwani akiwakilisha Kanda ya Mashariki
VENCY EDWARD ni mshiriki
nambari 7, akitoka Mkoa wa Rukwa akiwakilisha Kanda ya Nyanda za Juu
Kusini
WARID FRANK huyu ni
mshiriki namba 30 akitokea Arusha ana kuiwakilisha Kanda ya
Kaskazini.
Anaitwa ZUWENA NASIB akiwa
ni mwakilishi pekee wa chuo Kikuu Huria OUT
Wednesday, October 31, 2012
NYOTA 23 WAWANIA TUZO YA FIFA
ORODHA YA NYOTA 23 WANAOWANIA TUZO YA FIFA Ballon d'Or.... AFRIKA NZIMA WAMO DIDIER DROGBA NA YAYA TOURE TU... REAL MADRID YATOA NYOTA SITA, BARCELONA YATOA WACHEZAJI WATANO, MANCHESTER CITY WATATU....!
ZURICH,
Usiwsi
STRAIKA wa timu ya taifa ya Argentina na
klabu ya Barcelona, Lionel Messi yuko mbioni kuandika rekodi ya kuwa mtu wa
kwanza kushinda tuzo ya Mwansoka Bora wa Mwaka wa Dunia kwa mara ya nne
mfululizo baada ya kujumuishwa katika orodha iliyotolewa leo na Shirikisho la
Soka la Kimataifa (FIFA) kuwania tuzo hiyo ya
Straika huyo mwenye miaka 25, aliyeongeza
idadi ya mgoli yake tangu aanze kucheza akiwa na klabu na timu ya taifa hadi
kufikia 301 Jumamosi, ni miongoni mwa nyota 23 waliochaguliwa kuwania tuzo hiyo,
wengine wakiwa ni hasimu wake, straika wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa
ya Ureno, Cristiano Ronaldo, ambaye alishika nafasi ya pili katika tuzo
zilizotolewa mwaka jana na Messi kuibuka kidedea.
Andres Iniesta wa Barcelona, aliyetajwa kuwa
mchezaji bora wa fainali za Euro 2012 baada ya kuisaidia Hispania kutwaa ubingwa
pia amejumuishwa katika orodha hiyo kama ilivyo kwa Radamel Falcao, ambaye
amekuwa akionyesha kiwango cha juu cha upachikaji mabao akiwa na timu yake ya
taifa ya Colombia na klabu ya Atletico Madrid, akiisaidia nchi yake kutwaa
ubingwa wa Ligi ya Europa msimu uliopita.
Kocha wa Barca, Tito Vilanova amemwagia sifa
Messi wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari leo.
"Sidhani kama tutapata nafasi ya kuona tena
mchezaji kama yeye. Sio tu kwa sababu ya mabao anayofunga lakini pia kwa uwezo
wake wa kusoma mchezo," alisema kabla ya kumsiofia pia Iniesta.
"Yeye (Iniesta) ni mfano kwa wachezaji
wanaolelewa Masia (shule ya soka ya vijana wa Barcelona) na kufikia kiwango cha
juu. Ni mchezaji mwingine miongoni mwa wenye viwango vya juu na ambao Barca
itapata wakati mgumu wa kuwaibua tena."
Makocha 10 pia wametajwa kuwania Tuzo ya
Kocha Bora wa Mwaka wa Dunia, akiwamo Vicente del Bosque, aliyeiongoza Hispania
kutwaa ubingwa wa fainali za Euro 2012 zilizofanyika Julai nchini Ukraine na
Poland.
Roberto Di Matteo, aliyetwaa nafasi ya
kuiongoza Chelsea miezi miwili kabla ya kutwaa taji la Ligi ya Klabu Bingwa
Ulaya mwezi Mei, pia amejumuishwa katika orodha hiyo ambayo hata hivyo
haikumjumuisha Mfaransa Herve Renard aliyeiongoza Zambia kutwaa ubingwa bila
kutarajiwa katika fainali za Kombe Kombe la Mataifa ya Afrika mwezi
Februari.
Orodha hiyo fupi itachujwa zaidi na kubaki
watu watatu kufikia mwishoni mwa Novemba huku mshindi akitarajiwa kutangazwa
duniani kote kupitia matangazo ya moja kwa moja ya televisheni ya sherehe za
kukabidhi tuzo zitakazofanyika mjini Zurich, Uswisi Januari 7 mwakani.
Wachezaji (kwa kuzingatia mpangilio wa herufi
za majina yao):
1. Sergio Aguero (Argentina)
2. Xabi Alonso (Hispania)
3. Mario Balotelli (Italia)
4. Karim Benzema (Ufaransa)
5. Gianluigi Buffon (Italia)
6. Sergio Busquets (Hispania)
7. Iker Casillas (Hispania)
8. Cristiano Ronaldo (Ureno)
9. Didier Drogba (Ivory Coast)
10. Radamel Falcao (Colombia)
11. Zlatan Ibrahimovic (Sweden)
12. Andres Iniesta (Hispania)
13. Lionel Messi (Argentina)
14. Manuel Neuer (Ujerumani)
15. Neymar (Brazil)
16. Mesut Ozil (Ujerumani)
17. Gerard Pique (Hispania)
18. Andrea Pirlo (Italia)
19. Sergio Ramos (Hispania)
20. Wayne Rooney (England)
21. Yaya Toure (Ivory Coast)
22. Robin van Persie (Uholanzi)
23. Xavi (Hispania).
Makocha (kwa kuzingatia herufi za kwanza za
majina yao pili):
1. Vicente del Bosque (Hispania/taifa
Hispania)
2. Roberto Di Matteo
(Italia/Chelsea)
3. Alex Ferguson (Scotland/Manchester
United)
4. Pep Guardiola (Hispania/kocha wa zamani
Barcelona)
5. Jupp Heynckes (Ujerumani/Bayern
Munich)
6. Jurgen Klopp (Ujerumani/Borussia
Dortmund)
7. Joachim Low (Ujerumani/taifa
Ujerumani)
8. Roberto Mancini (Italia/Manchester
City)
9. Jose Mourinho (Ureno/Real
Madrid)
10. Cesare Prandelli (Italia/taifa
Italia)
AZAM YAMTIMU KOCHA WAO
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA WAKE BORIS BUNJAK
Kocha wa
Azam FC mserbia Boris Bunjak ametimuliwa rasmi kuifundisha
timu hiyo.
Taarifa rasmi nilizozipata kutoka ndani ya
klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya VPL zinasema kwamba kocha huyo aliyesaini
mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha Azam mwezi nane mwaka huu ametimuliwa na
sasa viongozi wa klabu hiyo wapo katika harakati za kutaka kumrudisha kocha wao
wa zamani Muingereza Stewart Hall.
Hatua hii imekuja siku mbili baada ya Azam
FC kufungwa 3-1 na Simba katika mechi ya ligi kuu.
Kocha wa
Azam FC mserbia Boris Bunjak ametimuliwa rasmi kuifundisha
timu hiyo.
Taarifa rasmi nilizozipata kutoka ndani ya
klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya VPL zinasema kwamba kocha huyo aliyesaini
mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha Azam mwezi nane mwaka huu ametimuliwa na
sasa viongozi wa klabu hiyo wapo katika harakati za kutaka kumrudisha kocha wao
wa zamani Muingereza Stewart Hall.
Hatua hii imekuja siku mbili baada ya Azam
FC kufungwa 3-1 na Simba katika mechi ya ligi kuu.
NYOTA 23 WAWANIA TUZO YA FIFA Ballon d'Or...
ORODHA YA NYOTA 23 WANAOWANIA TUZO YA FIFA Ballon d'Or.... AFRIKA NZIMA WAMO DIDIER DROGBA NA YAYA TOURE TU... REAL MADRID YATOA NYOTA SITA, BARCELONA YATOA WACHEZAJI WATANO, MANCHESTER CITY WATATU....!
ZURICH,
Usiwsi
STRAIKA wa timu ya taifa ya Argentina na
klabu ya Barcelona, Lionel Messi yuko mbioni kuandika rekodi ya kuwa mtu wa
kwanza kushinda tuzo ya Mwansoka Bora wa Mwaka wa Dunia kwa mara ya nne
mfululizo baada ya kujumuishwa katika orodha iliyotolewa leo na Shirikisho la
Soka la Kimataifa (FIFA) kuwania tuzo hiyo ya
Straika huyo mwenye miaka 25, aliyeongeza
idadi ya mgoli yake tangu aanze kucheza akiwa na klabu na timu ya taifa hadi
kufikia 301 Jumamosi, ni miongoni mwa nyota 23 waliochaguliwa kuwania tuzo hiyo,
wengine wakiwa ni hasimu wake, straika wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa
ya Ureno, Cristiano Ronaldo, ambaye alishika nafasi ya pili katika tuzo
zilizotolewa mwaka jana na Messi kuibuka kidedea.
Andres Iniesta wa Barcelona, aliyetajwa kuwa
mchezaji bora wa fainali za Euro 2012 baada ya kuisaidia Hispania kutwaa ubingwa
pia amejumuishwa katika orodha hiyo kama ilivyo kwa Radamel Falcao, ambaye
amekuwa akionyesha kiwango cha juu cha upachikaji mabao akiwa na timu yake ya
taifa ya Colombia na klabu ya Atletico Madrid, akiisaidia nchi yake kutwaa
ubingwa wa Ligi ya Europa msimu uliopita.
Kocha wa Barca, Tito Vilanova amemwagia sifa
Messi wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari leo.
"Sidhani kama tutapata nafasi ya kuona tena
mchezaji kama yeye. Sio tu kwa sababu ya mabao anayofunga lakini pia kwa uwezo
wake wa kusoma mchezo," alisema kabla ya kumsiofia pia Iniesta.
"Yeye (Iniesta) ni mfano kwa wachezaji
wanaolelewa Masia (shule ya soka ya vijana wa Barcelona) na kufikia kiwango cha
juu. Ni mchezaji mwingine miongoni mwa wenye viwango vya juu na ambao Barca
itapata wakati mgumu wa kuwaibua tena."
Makocha 10 pia wametajwa kuwania Tuzo ya
Kocha Bora wa Mwaka wa Dunia, akiwamo Vicente del Bosque, aliyeiongoza Hispania
kutwaa ubingwa wa fainali za Euro 2012 zilizofanyika Julai nchini Ukraine na
Poland.
Roberto Di Matteo, aliyetwaa nafasi ya
kuiongoza Chelsea miezi miwili kabla ya kutwaa taji la Ligi ya Klabu Bingwa
Ulaya mwezi Mei, pia amejumuishwa katika orodha hiyo ambayo hata hivyo
haikumjumuisha Mfaransa Herve Renard aliyeiongoza Zambia kutwaa ubingwa bila
kutarajiwa katika fainali za Kombe Kombe la Mataifa ya Afrika mwezi
Februari.
Orodha hiyo fupi itachujwa zaidi na kubaki
watu watatu kufikia mwishoni mwa Novemba huku mshindi akitarajiwa kutangazwa
duniani kote kupitia matangazo ya moja kwa moja ya televisheni ya sherehe za
kukabidhi tuzo zitakazofanyika mjini Zurich, Uswisi Januari 7 mwakani.
Wachezaji (kwa kuzingatia mpangilio wa herufi
za majina yao):
1. Sergio Aguero (Argentina)
2. Xabi Alonso (Hispania)
3. Mario Balotelli (Italia)
4. Karim Benzema (Ufaransa)
5. Gianluigi Buffon (Italia)
6. Sergio Busquets (Hispania)
7. Iker Casillas (Hispania)
8. Cristiano Ronaldo (Ureno)
9. Didier Drogba (Ivory Coast)
10. Radamel Falcao (Colombia)
11. Zlatan Ibrahimovic (Sweden)
12. Andres Iniesta (Hispania)
13. Lionel Messi (Argentina)
14. Manuel Neuer (Ujerumani)
15. Neymar (Brazil)
16. Mesut Ozil (Ujerumani)
17. Gerard Pique (Hispania)
18. Andrea Pirlo (Italia)
19. Sergio Ramos (Hispania)
20. Wayne Rooney (England)
21. Yaya Toure (Ivory Coast)
22. Robin van Persie (Uholanzi)
23. Xavi (Hispania).
Makocha (kwa kuzingatia herufi za kwanza za
majina yao pili):
1. Vicente del Bosque (Hispania/taifa
Hispania)
2. Roberto Di Matteo
(Italia/Chelsea)
3. Alex Ferguson (Scotland/Manchester
United)
4. Pep Guardiola (Hispania/kocha wa zamani
Barcelona)
5. Jupp Heynckes (Ujerumani/Bayern
Munich)
6. Jurgen Klopp (Ujerumani/Borussia
Dortmund)
7. Joachim Low (Ujerumani/taifa
Ujerumani)
8. Roberto Mancini (Italia/Manchester
City)
9. Jose Mourinho (Ureno/Real
Madrid)
10. Cesare Prandelli (Italia/taifa
Italia)
AZAM YARUDIA MATAPISHI
AZAM YAAMUA KUMRUDISHA STEWART HALL BAADA YA JANA KUMTIMUA BUNJAK
azam
baada yakumtmua kocha wao mserbia Boris Bunjak
imeamua kumrudisha kocha wake wa zamani mwingereza Stewart Hall aneifundisha Sofapaka ya Kenya
kwasasa. hii imedhibitishwa kwakuandika
katika page yao ya facebook kakuandika hivi
Tangazo
Azam FC imeamua
kuvunja mkataba na kocha Boris Bunjak na kumrejesha kazini Stewart Hall, hii
imetokana na Maombi na Maoni ya mashabiki pamoja na wataalam wa mambo ya ufundi
mbalimbali ambao walitoa maoni kuwa ni vema tukamrejesha kocha Stewart
Hall.
Azam
imeamua kumtimua mserbia huyo baada ya kuonyesha kiwango duni
Kocha alietimuliwa Boris Bunjak |
CHEKI VIJANA WA SIMBA WAKIWA MAZOEZINI HUKO JAMHURI HAPO JANA
EMMANUEL OKWE
KUSHOTO AKIPIMANA UBAVU NA FELIX ZUNZU WAKATI WA MAZOEZI YA KLABU YA SIMBA KWA
AJILI YA MCHEZO BAINA YA TIMU HIYO NA POLISI MORO SC KATIKA LIGI KUU YA VODACOM
TANZANIA BARA JIONI KATIKA UWANJA WA JAMHURI
MOROGORO.
DANIEL AKUFF (KATIKATI) AKIWA AMENYANYUA
DALUGA WAKATI AKIWANIA MPIRA DHIDI YA AMRI KIHEMBA KULIA HUKU HARUNA SHAMTE
AKIUPIGIA MAHESABU MPIRA HUO.+MWINYI+KAZIMOTO+KULIA+MAZOEZI+PIX+NO+3.jpg)
+MWINYI+KAZIMOTO+KULIA+MAZOEZI+PIX+NO+3.jpg)
UHURU SELEMAN (16) AKITAFUTA NAMNA YA
KUWATOKA WACHEZAJI WENZAKE MWINYI KAZIMOTO.
WACHEZAJI WAKIOMBA DUA MARA BAADA YA
KUMALIZIKA KWA MAZOEZI.
MASHABIKI WA KLABU YA SIMBA WAKINGALIA MAZOEZI
YA KLABU HIYO.
KIKOSI cha simba leo kimefanya mazoezi katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro
nakuwa kivutio zaidi kwa wakazi wa Morogoro ambao walijitokeza kwa wingi
uwanjani hapo.
Simba ipo mkoani Morogoro kwa ajili ya mchezo
dhidi ya Polisi Moro na ipo full kwa mchezo huo utakaopigwa
kesho
POLISI MORO WAAHIDI LEO KUMNYONGA MNYAMA SIMBA
MENEJA
wa klabu ya Polisi Moro Sport Club na Msemaji wa klabu hiyo, Clement Bazo
amesema kuwa klabu yake itaibuka na ushindi dhidi ya vinara wa ligi kuu ya
vodacom Tanzania bara klabu ya Simba katika mchezo wao wa ligi hiyo utaopigwa
kesho kwenye uwanja wa Jamhuri majira ya saa 10:30 mkoani hapa.
Bazo
alisema kuwa mchezo huo utakuwa mchezo wao wa tisa tangu kuanza kwa ligi hiyo na
kupoteza michezo sana na kutoa sare mbili na kujikusanyia pointi mbili
wanauchukua mchezo huo kama michezo mingine baada ya kufanya vibaya hivyo lengo
kuu ni kufanya vizuri na kuwa wamejindaa kukabiliana na vinara
hao.
“Tumefanya
maandalizi ya kutosha kwa michezo iliyobakia hivyo kesho (leo) tunacheza na
Simba hivyo sisi Polisi lengo letu tulilonalo kwa sasa ni kufanya vizuri ukiwemo
mchezo wetu dhidi ya dhidi ya Simba SC na tunaasilimia 75 ya ushindi kwa mchezo
huo”. Alisema Bazo.
Bazo
alisema kuwa mchezo ni mchezo matokeo ambayo yanahitajika katika mchezo huo kama
watashindwa kuwafunga Simba basi mchezo utaweza kumalizika kwa sare ya aina yo
yote ile.
Naye
Kocha Mkuu wa klabu ya Polisi Sport Club, John Simkoko amesema maandalizi ya
mchezo wao dhidi ya Simba yamekabili na anachosubiri ni dakika 90 kuweza kuamua
matokeo ya mchezo huo.
Akizungumza
na gazeti hili kwa njia ya simu kutoka jijini Dar es Salaam ambako wameweka
kambi katika jeshi la polisi Kulasini, Simkoko alisema kuwa wachezaji wake wote
wapo fiti kwa mchezo huo na anachosubiri ni kuanza kwa mchezo huo dhidi ya
vinara wa ligi ligi Simba Sport Club hii kesho.
Simkoko
alisema kuwa waliweka kambi mapema katika jiji hilo baada ya mchezo wao dhidi ya
Ruvu JKT kwa lengo kumalizia michezo iliyobakia ukiwemo na Simba katika uwanja
wake wa nyumbani na kuwa dakika 90 ndizo zitakazoamua mshindi katika mchezo wa
soka.
“Mchezo
utakuwa mgumu kwa pande zote mbili na tumejiandaa vya kutosha kwa ajili ya
kuikabili Simba hivyo najua Simba wanahitaji ushindi nasi vile vile tunahitaji
ushindi katika mchezo huo lakini dakika 90 ndizo siku zote zinaamua matokeo ya
mchezo ikiwemo sare, kupoteza na ”. alisema Simkoko.
Katika
mchezo huo utanarajia kuibua hisia nyingine kutoka kwa mashabiki Manispaa ya
Morogoro endapo klabu hiyo ya Polisi Moro kama itaendelea kupoteza mchezo huo
baada ya kupoteza mwelekeo kufuatia kufungwa michezo saba na sare mbili huku
ikiwa na pointi mbili
KITU KIPYA FORD F650
10/31/2012
DUH! CHEKI HI KITU MPYA FORD F650 HILI GARI BALAA

F650 is a truck launched by Ford in the year 2000 to replace F600, F700 and F800 trucks. Ford F650 is a joint venture of Blue Diamond Truck Company and Ford. Ford F650 is a 4 door truck that’s efficient by all standards. It’s fully air conditioned and uses a 10 gallon DEF fuel tank
SINTAH ATOA RUKSA
10/31/2012
SINTAH ATOA RUKSA PICHA ZAKE ZA UTUPU KUSAMBAZWA MTANDAONI
MSANII wa filamu bongo, Christina John 'Sintah'
ameruhusu kwa yeyote alieona picha yake yeyote ya utupu aisambaze mtandaoni
kwani huo ujinga wakupiga picha hizo
Sinta amesema tangu azaliwe hajawai
kupiga picha za utupu na kuomba kama kunamtu amewai kuziona picha zake aziweke
kwenye mtandao watu waone ujinga wake
"ALIYE
NA PICHA ZANGU ZA UCHI AZIWEKE HADHARANI ILI WATU WAONE UJINGA
WANGU".....alisema Sintah
USHANGILIAJI WENYE UTATA
BAADA YA SUAREZ SHANGILIA YAKE KULETA UTATA CHEKI SHANGILA 10 AMBAZO WACHEZAJI WALITUMIA KUJIBUTUHUMA ZILIZOKUWA ZINAWACHAFUA
10. Luis
Suarez (vs. Everton, Oct. 2012)
Prior to Sunday's Merseyside derby
between Liverpool and Everton, David Moyes made his feelings regarding Luis
Suarez well known after the striker went down under a challenge from Jack
Rodwell that saw the then-Toffees midfielder receive a red card which was later
rescinded by the FA.
"I've got
concerns about Suarez, yes," said Moyes. "He's got history and these people are
very good at it.
"Last year
was a dive and the referee made a really poor decision that ruined the game
after 15 minutes."
The
Uruguayan looked set to have the last laugh, though, as his early effort
deflected off Leighton Baines and he sent himself hurtling to the ground in
front of Moyes.
Suarez
added another but Liverpool went on to draw 2-2 - though the club might have won
had the striker's late finish not been ruled out incorrectly for
offside.
9. Jurgen Klinsmann (vs. Sheffield Wednesday, Aug. 1994)
Jurgen
Klinsmann arrived at Tottenham in the summer of 1994 after the USA World Cup but
his reputation had already made its way across to the Premier
League.
The Germany
international - like Suarez nowadays - was regarded as a diver prior to his
surprise appearance at White Hart Lane.
The Spurs
man lined up for his debut against Sheffield Wednesday in August and Owls fans
had prepared Olympic swimming-style scorecards to mark the striker's
exploits.
So, when
Klinsmann stooped in to power home an emphatic header, his reaction was to
launch himself to the turf, with a number of teammates following
suit.
8. Emmanuel Adebayor (vs. Arsenal, Sept. 2009)
Emmanuel
Adebayor left the Emirates Stadium and completed a massive move worth 25 million
pounds to Manchester City in the summer of 2009, ensuring that, when Arsenal met
the Togo striker's new club just a couple of months later, there would be
fireworks at Eastlands.
And there
were. The hosts had a two-goal lead entering the final 10 minutes, when Adebayor
headed beyond Manuel Almunia to effectively put the game beyond
doubt.
But rather
than celebrate in front of the home support, the man of the moment opted to run
the full length of the pitch before provocatively sliding on his knees in front
of the travelling Gunners fans, arms outstretched. The Togolese was promptly
pelted by furious Arsenal supporters.
7. Samir Nasri (vs. England, June 2012)
When
Samir Nasri scored a crucial equalizer in France's Euro 2012 opener with
England, the Manchester City man decided to take the opportunity to let his
critics know exactly what he thought of them.
Nasri fired
beyond Hart and then simply raised a finger to his lips, before later explaining
that the gesture was aimed at French journalists who had been critical of
him.
The row
still rages on, however. The forward launched into a verbal assault at a
journalist after France's elimination at the hands of Spain and is still yet to
make his way back into the national squad.
6. Craig Bellamy (vs. Barcelona, Feb. 2007)
Never
too far from controversy in his younger days, Craig Bellamy found himself
involved in a row with Liverpool teammate John Arne Riise on a trip to
Portugal.
Bellamy
made the newspapers after confronting Riise with a golf club when the left back
refused to sing karaoke at the team bonding exercise.
Days later,
the Wales international was on target against no lesser opposition than
Barcelona - as was Riise - and mocked the incident by swinging an imaginary
club. The pair have long since buried the hatchet.
5. Tim Cahill (vs. Portsmouth, March 2008)
Tim
Cahill found himself heavily criticized for a goal celebration in the 3-1 win
for Everton over Portsmouth in 2008.
The
Australian marked his strike in the victory by gesturing as though he had been
handcuffed in recognition of his brother Sean, who had been jailed for six years
the previous January.
Cahill came
under scrutiny and apologized days later, insisting: "It was a spontaneous and
emotional reaction but was only intended to signify to my brother that I was
thinking of him and missing him.
"It was not
intended to cause any offense to any other party and I wholeheartedly apologize
if any offense was caused."
4. Robbie Fowler (vs. Brann, March 1997)
Robbie
Fowler used the UEFA Cup as a platform to show his support for the Liverpool
dockers on strike in 1997.
The striker
was on target against Brann Bergen in a 3-0 win and lifted his shirt to reveal a
vest referencing the dispute, in which 500 workers were
sacked.
Fowler was
fined by UEFA due to a breach of rules whereby political demonstrations are
forbidden in a soccer match.
3. Paul Gascoigne (vs. Celtic, Jan. 1998
Paul
Gascoigne stoked the flame of an already heated Old Firm atmosphere in 1998 with
his controversial celebration.
The
mercurial midfielder mimicked the playing of a flute - an instrument synonymous
with Loyalism - in front of fans of Celtic, a traditionally Catholic
club.
The former
England international claimed to be unaware of the relevance of the gesture,
which somebody had told him to perform, but was promptly disciplined by his club
and the SFA.
2. Paul Gascoigne (vs. Scotland, June 1996)
Years
before landing in hot water at Rangers, Gazza caught the imagination of the
nation during Euro 96.
After a
David Seaman penalty save from Gary McAllister, England broke and the ball fell
to Gascoigne, who lifted the ball over Colin Hendry and blasted in beautifully
to set up a victory over Scotland.
The
midfielder went to ground as teammates poured water from bottles into his mouth
in tribute to the 'Dentist's Chair', a drinking game in which the players were
photographed taking part during a tour of Hong Kong prior to the tournament,
which had dominated the front pages.
It remains
one of the most iconic moments in the history of the England national
team.
1. Robbie Fowler (v Everton, April 1999)
|
|
|
Long
before Luis Suarez's actions in Sunday's Merseyside derby, Robbie Fowler was
answering Everton fans with his own celebration.
Toffees
supporters had taunted the striker, suggesting that he had indulged in
drug-taking, and the Reds hero responded with two goals before mimicking
snorting cocaine on one of the white lines on the Anfield
turf.
Gerard
Houllier, the Liverpool manager at the time, tried to cover for his star man,
suggesting that he had pretended to eat grass, but Fowler was hit with a £32,000
fine and a four-game ban for the incident, added to a two-game suspension for an
altercation with Chelsea defender Graeme Le Saux just days before.
Subscribe to:
Posts (Atom)